Gari inauzwa Milioni 5 Bei haipungui

Gari inauzwa Milioni 5 Bei haipungui

akohi

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
787
Reaction score
527
Haina cylinder head.

0784/764 800989

Ipo Kigamboni , dar es salaam
 

Attachments

  • 1407846808561.jpg
    1407846808561.jpg
    102.3 KB · Views: 1,318
  • 1407846823089.jpg
    1407846823089.jpg
    73.9 KB · Views: 1,112
  • 1407846839254.jpg
    1407846839254.jpg
    88.9 KB · Views: 1,023
  • 1407846854130.jpg
    1407846854130.jpg
    103.8 KB · Views: 1,007
  • 1407846869256.jpg
    1407846869256.jpg
    89.4 KB · Views: 983
  • 1407846880120.jpg
    1407846880120.jpg
    60.5 KB · Views: 974
Utani kama huu moderator msiufumbie macho, cc Invisible
 
Last edited by a moderator:
Asante Mod kwa kuweka maneno sawa, wengine lugha inatupa shida kidogo.

Renegade ukiwa unakuja nipigie nikuelekeze ni Kigamboni Geza Ulole, pale pale stand unaingia kulia, ulizia kwa chichi niko nyuma yake .

ONYO: Naomba anaekuja awe serious buyer napia bei haipungui.
 
Google wengine hatujui utani maana hili sio jukwaa la utani, kuwa makini na unachokiandika na si lazima uandike kama huna la msingi
 
Asante Mod kwa kuweka maneno sawa, wengine lugha inatupa shida kidogo.

Renegade ukiwa unakuja nipigie nikuelekeze ni Kigamboni Geza Ulole, pale pale stand unaingia kulia, ulizia kwa chichi niko nyuma yake .

ONYO: Naomba anaekuja awe serious buyer napia bei haipungui.
Usijali mkuu unapatikana mida gani hasa?
 
Renegade: nipo muda wote hata nikitoka nakuwa around
 
Wadau: kimsingi nahitaji suzuki carry, so kama kuna anayo na tubadirishane pia ruksa. Hata kama imetumika kidogo bora iwe na hari nzuri, that to say nikiiuza hii nissan nanunua suzuki carry hata kwa kuongezea hela kidogo
 
Google wengine hatujui utani maana hili sio jukwaa la utani, kuwa makini na unachokiandika na si lazima uandike kama huna la msingi
Samahani mkuu nikajua gari mdoli kumbe mkoko wa maana kabisa hivi ni Cc nhapi?
 
Nissan Patrol zote ni cc kuanzia 4200 maana kimsingi sio gari za starehe au kuzungukia town. Utaifurahia unapokuwa na safari ndefu maana ingine inavyozidi kuwa kubwa ndo gari inavyokuwa stable zaidi baranaran na inakupa uhuru wa kumanuva lakin pia sifa kubwa ya nissan patrol ni gari ambayo haipinduki kirahisi na mtu anaeipindua basi nahakika yeye ndo mzembe lakin sio tatizo la gari unless kuwe na issue za kiufundi zaidi.

Najua unaulizia ulaji wa mafuta.

4 x 4 karibia zote kwa hizi kubwa ni 1ltr kwa 7km on average.

Lakin mi huwa siku zote sifikirii mafuta maana kama nikikaa bar natumia zaidi ya lets say 50,000 na hapo nimetoa offer kwa marafiki lets say 20,000 au zaidi sasa utasema unabana matumizi? Kwanin tusibane matumizi kwenye kila kitu?

Mf sijui mtu unaweza kubanaje matumizi ya mahitaji ya nyumbani? Hahaha eti week hii hakuna kula nyama au samaki au wali...mmmh anyway...huwa sielewi kwanin pia mtu anaacha kutumia ac kisa anabana matumiz ya mafuta wakat bar anatoa offer
 
Spea za hii kitu kama mercedes Benz ni shida kupata then very expensive.
Naijua vyema hii kitu si ya mchezo japo iko poa road
 
Nissan, Ben, Bmw, volvo etc they are not for everyone
 
CC 4200,kama Costar

Hizi gari ni nzuri sana na zimetulia sana njiani,ila kwa safari fupi zinasumbua mafuta.
Piga ruti ndefu ndio utaijua Nissan Patrol,ndio kwanza inatitia inakuambia nipe motooo.
 
ukiuza kama chuma chakavu unapata zaidi ya 6 milioni
 
Mmmh yaweza kuwa wazo zuri eh...wapi mkuu?
 
Ipeleke Temeke wanako uza spare za Nissan
 
peleka ilala ikachinjwe matairi pekee una milioni moja ukija vioo milioni,geabox milioni,viti milioni vikorokoro vingine millioni 2
 
peleka ilala ikachinjwe matairi pekee una milioni moja ukija vioo milioni,geabox milioni,viti milioni vikorokoro vingine millioni 2

Hahahaha kweli jf ni kila kitu, asante sana, sikuwahi kufikiria hivyo lakin naona ni wazo zuri
 
Mkuu em elezea condition yake kidogo kwasababu hyo picha nikamainaonyesha hyo gar mara ya mwisho kutembea ilikua 2001
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom