Funguka zaidi chief,eleza mwanzo ilikuwa inatembea kilometa ngapi kwa lita moja na sasa imekuwaje?,Je tatizo limekuja ghafla au imeanza mabadiliko taratibu taratibu hadi sasa umeona hali si shwari tena,Service ya mwisho uliyofanya ulibadilisha vitu gani?,Maana kuna mengi ambayo yanachangia ulaji wa mafuta wa gari kubadilika,kwa uchache ni mambo kama
1.Uendeshaji mbovu .
2.Plugs mbovu
3.Air filter chakavu
4.Nozzle chakavu
5.Matairi chakavu
6.Chaguzi mbaya ya oili unayotumia
7.Ubora hafifu wa mafuta unayotumia n.k
Hapo kwenye oili mara nyingi inaangaliwa ile thickness ya oili,(viscosity grade) na quality ya Oili kama utakuwa umetumia oili ambayo haikushauriwa kwa Engine unayotumia au ambayo haiko kwenye ubora husababisha zile moving parts kwenye engine zisiweze kuzunguka kwa uhuru hivyo uongeza matumizi ya Nishati (fuel demands).uendeshaji ni mzuri mno nikiwa naendesha mimi na hiyo ndo nafuu yangu balaa aendeshe mwengine sasa...!!
air filter iko vizuri
matairi ni mapya
hapo kwenye oil na dizeli sina uhakika ila kituo kilekile inapokunywa gari nyingine ambayo yenyewe haina tatizo hili.
ilikuwa inakunywa mafuta ya elfu 60 sasa inakunywa mafuta ya 75 elfu kwa kazi kazi ileile, umbali uleule
Boss mi gari yangu inashindwa kubadili gear ikiwa inapanda mlima na inakuwa inatetemeka some time ila plug nimebadili air filter nimebadili na oil Na hydraulic nabadilisha kwa mda mwafaka na tire ni Mpya kabisa. Tatizo laweza kuwa ni nn?Funguka zaidi chief,eleza mwanzo ilikuwa inatembea kilometa ngapi kwa lita moja na sasa imekuwaje?,Je tatizo limekuja ghafla au imeanza mabadiliko taratibu taratibu hadi sasa umeona hali si shwari tena,Service ya mwisho uliyofanya ulibadilisha vitu gani?,Maana kuna mengi ambayo yanachangia ulaji wa mafuta wa gari kubadilika,kwa uchache ni mambo kama
1.Uendeshaji mbovu .
2.Plugs mbovu
3.Air filter chakavu
4.Nozzle chakavu
5.Matairi chakavu
6.Chaguzi mbaya ya oili unayotumia
7.Ubora hafifu wa mafuta unayotumia n.k
Hapo kwenye oili mara nyingi inaangaliwa ile thickness ya oili,(viscosity grade) na quality ya Oili kama utakuwa umetumia oili ambayo haikushauriwa kwa Engine unayotumia au ambayo haiko kwenye ubora husababisha zile moving parts kwenye engine zisiweze kuzunguka kwa uhuru hivyo uongeza matumizi ya Nishati (fuel demands).
Swala mafuta mara nyingi shida utokea kama unanunua mafuta kienyeji ambalo kwa kesi yako inaonyesha haiko hivyo,
Unaweza kuendelea kutroubleshoot hilo tatizo kwa kubadilisha spark plugs (Tafuta Genuine Plugs kwa Engine yako),pia check kama nozzle rubber kama zinavujisha au zimechakaa ubadilishe hizo rubber.
API Grade CF-4 AU CD
nipe ufafanuz mkuu hii nimepiga juu ya engine pa kuwekea oil
Dah pole bosi wangu mimi sio fundi,nimemjibu mkuu Sexer based on experience,lakini naamini uko sehemu sahihi wajuvi wa mambo haya watakuja kutoa mchango wao.Labda ungesema pia ni gari aina gani ili wataalamu waonapo wajue waanzie wapi.Boss mi gari yangu inashindwa kubadili gear ikiwa inapanda mlima na inakuwa inatetemeka some time ila plug nimebadili air filter nimebadili na oil Na hydraulic nabadilisha kwa mda mwafaka na tire ni Mpya kabisa. Tatizo laweza kuwa ni nn?
Mkuu upo poaSAE 5W-30 ni best OIl kwa engine yako mkuu.
matairi chakavu mkuu inahusika na kula wese?Funguka zaidi chief,eleza mwanzo ilikuwa inatembea kilometa ngapi kwa lita moja na sasa imekuwaje?,Je tatizo limekuja ghafla au imeanza mabadiliko taratibu taratibu hadi sasa umeona hali si shwari tena,Service ya mwisho uliyofanya ulibadilisha vitu gani?,Maana kuna mengi ambayo yanachangia ulaji wa mafuta wa gari kubadilika,kwa uchache ni mambo kama
1.Uendeshaji mbovu .
2.Plugs mbovu
3.Air filter chakavu
4.Nozzle chakavu
5.Matairi chakavu
6.Chaguzi mbaya ya oili unayotumia
7.Ubora hafifu wa mafuta unayotumia n.k
ni super custom, engine 1kz-te inakula mafuta kama haina akili nzuri. msaada tafadhali nini kinachangia hii kitu
Air filter unabadili baada ya service ngapi!?!? Exhausting system yako haina leakage yeyote?!?! Pump imewahi kukusumbua!?!?uendeshaji ni mzuri mno nikiwa naendesha mimi na hiyo ndo nafuu yangu balaa aendeshe mwengine sasa...!!
air filter iko vizuri
matairi ni mapya
hapo kwenye oil na dizeli sina uhakika ila kituo kilekile inapokunywa gari nyingine ambayo yenyewe haina tatizo hili.
ilikuwa inakunywa mafuta ya elfu 60 sasa inakunywa mafuta ya 75 elfu kwa kazi kazi ileile, umbali uleule
Ndio mkuu,matairi yakiwa chakavu au yakiwa hayana upepo katika kiwango sahihi au yakiwa hayako katika correct alignment usababisha ulaji wa mafuta.Matairi yakiwa chakavu yanapoteza ile griping capability au traction on road hali hii usababisha matairi kuzunguka kwa haraka ili kusogea (moving) jambo hili uongeza ulaji wa mafuta isivyo kawaida.matairi chakavu mkuu inahusika na kula wese?
Air filter unabadili baada ya service ngapi!?!? Exhausting system yako haina leakage yeyote?!?! Pump imewahi kukusumbua!?!?
Pump ndio itupayo mafuta kama imepata hitilafu hutupa kuliko kiwango inacho stahili. Hapo ndipo ulaji unapozidi.kuna fundi kanambia pump lakin simuamini make kuwasha ni mara moja tu na asubuhi sichomi choki ni kuwasha na kuondoka, mambo yote shwari ila kwenye mafuta tu sasa pump inahusikaje hapo?! air filter iko safi kabisa.
Mkuu gari yangu ni toyota allexDah pole bosi wangu mimi sio fundi,nimemjibu mkuu Sexer based on experience,lakini naamini uko sehemu sahihi wajuvi wa mambo haya watakuja kutoa mchango wao.Labda ungesema pia ni gari aina gani ili wataalamu waonapo wajue waanzie wapi.
Ni kabreta?Boss mi gari yangu inashindwa kubadili gear ikiwa inapanda mlima na inakuwa inatetemeka some time ila plug nimebadili air filter nimebadili na oil Na hydraulic nabadilisha kwa mda mwafaka na tire ni Mpya kabisa. Tatizo laweza kuwa ni nn?
Ya diesel au petrol?ni super custom, engine 1kz-te inakula mafuta kama haina akili nzuri. msaada tafadhali nini kinachangia hii kitu