Gari Hilux Pick up engine 3L nauza

Gari Hilux Pick up engine 3L nauza

mbavuchanga

Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
70
Reaction score
7
Gari aina Hilux pick up engine 3L single cabine naiuza kwa bei nzuri tatizo lake ni kukausha maji haraka kwenye rejeta tu na inatumia dizeli.

Kwa mawasiliano 0787594060
 
Gari aina hilux pick up engine 3L single cabine naiuza kwa bei nzur tatizo lake ni kukausha maji haraka kwnye rejeta tu na inatumia dizel. Kwa mawasiliano 0787594060

Kwa kifupi tu sema gari ina matatizo ya kuchemsha mkuu!any way nakutakia kila la kheri!
 
kapicha picha na bei viko wapi!! tuone body hiyo kwanza kwani hapo lazima engine ikapigwe chini...na kui overhaul si chini ya 3m au used ya 4.8m ila kama body na bei iko vizuri itashawishi wanunuzi....ni 4wd?
 
mkuu weka picha tuone body,ili tuangalie na bei kma vinaendana
 
Toa thermostat kwanza unaweza unaweza badili maamuzi na kutoliuza tena..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom