Gari hii yauzwa sh 4.3m

Gari hii yauzwa sh 4.3m

IPILIMO

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,819
Reaction score
802
Ni Mitsubishi Lancer (sport generation car)
  • CC 1597
  • mwaka wa kutengeneza: 1999
  • kusajiliwa kwanza ni 2007
  • Consumption 1litre/13-14 km
  • Blue colour
  • Vibali: Motorvehicle license Feb/2015, Bima June/2015.
  • Inatembea
  • Milage; 150,105 km
  • Plate no AQT
  • Ipo Mbeya mjini.
  • Umiliki ni halali, wala sio dalali.
  • Sababu ya kuuza: Nahitaji kuimarisha mipango ya kibiashara.
  • Unaweza kutumia kwa matumizi ya kawaida au hata kibiashara (mafuta inatumia vema- PETROL)
  • Wasiliana tuongee; 0652 656565
 

Attachments

  • lancer yote.jpg
    lancer yote.jpg
    210.7 KB · Views: 1,254
  • lancer nyuma yote.jpg
    lancer nyuma yote.jpg
    11.2 KB · Views: 1,123
  • lancer ndani mbele.jpg
    lancer ndani mbele.jpg
    10.7 KB · Views: 1,113
  • lancer speed.jpg
    lancer speed.jpg
    10.5 KB · Views: 1,049
  • lancer engine.jpg
    lancer engine.jpg
    16.5 KB · Views: 1,039
tangazo limekamilika hili.....sema ipo mbali tu ingekuwa dar ningekkutafuta mkuu
 
Ni Mitsubishi Lancer (sport generation car)
  • CC 1597
  • mwaka wa kutengeneza: 1999
  • Awali ilitumika na Kampuni, kusajiliwa kwanza ni 2007
  • Consumption 1litre/13-14 km
  • Blue colour
  • Vibali: Motorvehicle license Feb/2015, Bima June/2015.
  • Inatembea
  • Milage; 149,505 km
  • Plate no AQT
  • Ipo Mbeya mjini.
  • Marekebisho ni madogo sana (si lazima-hayana athari)
  • Umiliki ni halali, wala sio dalali.
  • Sababu ya kuuza: Nahitaji kuimarisha mipango ya kibiashara.
  • Unaweza kutumia kwa matumizi ya kawaida au hata kibiashara (mafuta inatumia vema)
  • Muundo wa injini yake kiufundi unaruhusu replacement ya engine full za Toyota; 4E AU 5A au 7A(engine, gearbox, distributor, nk) HAINA maana kwamba ingine iliyopo ni mbovu au mbaya ila wengine huwa na mapenzi na Injini fulani.
  • Wasiliana tuongee; 0652 656565

Duh! Wasiponunuwa basi tena.
 
tangazo limekamilika hili.....sema ipo mbali tu ingekuwa dar ningekkutafuta mkuu

Mkuu, dar ni nyumbani, tukielewana naidrive to dar bila shaka. Jambo la msingi ni wewe kuipenda gari, maelezo niliyotoa ni hakika, picha unazo ona ni taswira halisi ya gari (utakapo liona). Ungekuwa na mtu huku wa kukuaminisha angefanya hivo, kisha unanilipa nusu, nakuja mwenyewe kwa mafuta yangu kukuletea.
 
How about its spare parts availability and affordability?
 
How about its spare parts availability and affordability?

spare parts kwakweli zipo hasa Dsm, shaurimoyo na maduka ya spea msimbazi; used na mpya kwani zinaingiliana na baadhi ya aina zingine za mitsubishi na hata Toyota. Bei zake za kawaida tu;
 
Mkuu, dar ni nyumbani, tukielewana naidrive to dar bila shaka. Jambo la msingi ni wewe kuipenda gari, maelezo niliyotoa ni hakika, picha unazo ona ni taswira halisi ya gari (utakapo liona). Ungekuwa na mtu huku wa kukuaminisha angefanya hivo, kisha unanilipa nusu, nakuja mwenyewe kwa mafuta yangu kukuletea.

Mkuu ikifika dar odometer itakuwa inasoma kama hapo kwenye picha au?
 
Mkuu ikifika dar odometer itakuwa inasoma kama hapo kwenye picha au?

Mkuu, Cooment yako sijajua intention yako, sababu ni kitu kinachoeleweka, odometer inasoma hivo, wakati gari naipiga picha leo. hata kabla ya kuja dar odometer itabadirika, gari haiko yard, ila kwa vyovyote odometer haiwezi kuwa the same japo pia haiwezi kuwa na tofauti kubwa hata ikija dar.
 
Ni Mitsubishi Lancer (sport generation car)
  • CC 1597
  • mwaka wa kutengeneza: 1999
  • Awali ilitumika na Kampuni, kusajiliwa kwanza ni 2007
  • Consumption 1litre/13-14 km
  • Blue colour
  • Vibali: Motorvehicle license Feb/2015, Bima June/2015.
  • Inatembea
  • Milage; 149,505 km
  • Plate no AQT
  • Ipo Mbeya mjini.
  • Marekebisho ni madogo sana (si lazima-hayana athari)
  • Umiliki ni halali, wala sio dalali.
  • Sababu ya kuuza: Nahitaji kuimarisha mipango ya kibiashara.
  • Unaweza kutumia kwa matumizi ya kawaida au hata kibiashara (mafuta inatumia vema)
  • Muundo wa injini yake kiufundi unaruhusu replacement ya engine full za Toyota; 4E AU 5A au 7A(engine, gearbox, distributor, nk) HAINA maana kwamba ingine iliyopo ni mbovu au mbaya ila wengine huwa na mapenzi na Injini fulani.
  • Wasiliana tuongee; 0652 656565

Umefafanua vizuri tofauti na watu wengine. Hawatoi maelezo ya kutosha mpaka mnunuzi anakuwa na wai wasi.
 
Jamaa anajua jinsi ya kuandaa tangazo yaani umeeleweka vyema sana ukiona mtu anachonga chonga ujue ndio wale wale vijana wa facebook a k a baba kajenga
 
Mkuu nipo Dodoma tunafanyaje hapo

Nime kupm mkuu, ila Dodoma kutoka mbeya via Iringa ni karibu, masaa 6 tu niko hapo, hii iko vema kabisa hasa safari zz kunyoosha. Tukikubaliana mambo ya msingi tunafanya biashara, Nakuletea mwenyewe. Naondoka Mbeya saa 11 asbh, Dodoma saa 5 au 6, kama halitatokea tatizo. Tuwasiliane mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom