Gari hii yauzwa sh 4.3m

Gari hii yauzwa sh 4.3m

Nime kupm mkuu, ila Dodoma kutoka mbeya via Iringa ni karibu, masaa 6 tu niko hapo, hii iko vema kabisa hasa safari zz kunyoosha. Tukikubaliana mambo ya msingi tunafanya biashara, Nakuletea mwenyewe. Naondoka Mbeya saa 11 asbh, Dodoma saa 5 au 6, kama halitatokea tatizo. Tuwasiliane mkuu

Unanikosha sana upo vizuri kimaelezo
 
Ni Mitsubishi Lancer (sport generation car)
  • CC 1597
  • mwaka wa kutengeneza: 1999
  • Awali ilitumika na Kampuni, kusajiliwa kwanza ni 2007
  • Consumption 1litre/13-14 km
  • Blue colour
  • Vibali: Motorvehicle license Feb/2015, Bima June/2015.
  • Inatembea
  • Milage; 149,505 km
  • Plate no AQT
  • Ipo Mbeya mjini.
  • Marekebisho ni madogo sana (si lazima-hayana athari)
  • Umiliki ni halali, wala sio dalali.
  • Sababu ya kuuza: Nahitaji kuimarisha mipango ya kibiashara.
  • Unaweza kutumia kwa matumizi ya kawaida au hata kibiashara (mafuta inatumia vema)
  • Muundo wa injini yake kiufundi unaruhusu replacement ya engine full za Toyota; 4E AU 5A au 7A(engine, gearbox, distributor, nk) HAINA maana kwamba ingine iliyopo ni mbovu au mbaya ila wengine huwa na mapenzi na Injini fulani.
  • Wasiliana tuongee; 0652 656565

Mkuu kwa maelezo hayo nimekukubali biashara unaiweza.
 
jamani mnaopenda gari mnyama speed mia ishirini hiyo hapo,hapo itakupita ford ranger tu hata kilimo kwanza hakatishi hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom