Gari boxbody inahitajika kwa kukodi

Gari boxbody inahitajika kwa kukodi

kaale

Member
Joined
May 19, 2014
Posts
96
Reaction score
36
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni.

VIGEZO
1. Gari iwe na dereva wake.

2. Dereva atalipwa na mwenye gari.

3. Tani 1.

4. Gari itakodiwa kwa mwendelezo na malipo ni kila baada ya mwezi.

5. Kiwango cha siku ni makubaliano kutegemea na gari.

6. Gari Itapaki/lala bure Godown/Ofisini siku za kazi.

7. Mawasiliano zaidi 0625492720.

8. Mafuta juu yetu.

9. Vibali vya kuingia mjini/city centre ni juu yetu.

10.Mahali ni DSM nyerere road vingunguti karibu na kiwanda cha Pepsi.
 
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni.

VIGEZO
1. Gari iwe na dereva wake.

2. Dereva atalipwa na mwenye gari.

3. Tani 1.

4. Gari itakodiwa kwa mwendelezo na malipo ni kila baada ya mwezi.

5. Kiwango cha siku ni makubaliano kutegemea na gari.

6. Gari Itapaki/lala bure Godown/Ofisini siku za kazi.

7. Mawasiliano zaidi 0625492720.

8. Mafuta juu yetu.

9. Vibali vya kuingia mjini/city centre ni juu yetu.

10.Mahali ni DSM nyerere road vingunguti karibu na kiwanda cha Pepsi.
Nina gari SUZUKI CARRY DC51T haina 4Wheel.

NAKODISHA . Hii gari Ina Bomba ambazo unaweza kuzitoa au kuamua kuziacha. NINA DEREVA. Mafuta juu yako na vibali vya kuingia mjini juu yako. Tuwasiliane +255716576827 nipo Dar es salaam
 
Back
Top Bottom