Gari au nyumba?

Gari au nyumba?

Kujenga sio potential kwa MTU unaeanza maisha....gar unalia bata
 
vijana wengi tukipata kazi kipaumbele ni magari na sio kujenga tatizo ni nn?

Kwanza mtu una machungu ya kusota na elimu yetu ngumu, ukisha pata kazi unataka ujifariji kidogo na uonyeshe watu kwamba umeanza kula matunda ya taabu yako (gari utatembea nayo na kila mtu atakuona lakini nyumba sio kila mtu utakaekutana nae atajua kwamba unamiliki nyumba)

Pili wengi tunaamini kujenga kunahitaji kua na pesa nyingi sana na zile tunazopata kwa mwezi tunaona kama haziwezi kufanya kitu kwenye ujenzi kumbe tunajidanganya.


Mwisho ni vipaumbele vya mtu binafsi na amechagua nini kwenye maisha yake. kuna mwingine yuko tayari apane nyumba ya sh. 600,000 au zaidi kwa mwezi ilimradi aishi eneo analolipenda wakati kuna mwingine yuko tayari amiliki nyumba yake hata kama ni mbali kiasi gani.
 
GARi niwadolishie wote waliokataa shule!
 
Back
Top Bottom