Wakuu kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu, mimi ni mmiliki halali wa hiyo gari, usiku wa kuamkia leo tarehe 19.12.2022, gari ilikuwa imeegeshwa karibu na shule ya msingi Yombo mkabala na duka la jumla, ambapo mlinzi alipewa kazi ya kulinda.
Lakini asubuhi naamka mlinzi anasema aliona mtu ameichukua gari akadhani ni mimi. Tayari swala lipo kwenye vyombo vya dola na mlinzi anatafutwa kwa ajili ya kusaidia kutoa ushirikiano. Najua humu kuna watu wengi wanye uelewa na magari na hata wanaouza magari, naombeni kwa yeyote atakaweza kuona au kusikia gari tajwa hapo juu naomba tuwasiliane kwa no 0763921242 au afike kituo chochote polisi. Asante
Lakini asubuhi naamka mlinzi anasema aliona mtu ameichukua gari akadhani ni mimi. Tayari swala lipo kwenye vyombo vya dola na mlinzi anatafutwa kwa ajili ya kusaidia kutoa ushirikiano. Najua humu kuna watu wengi wanye uelewa na magari na hata wanaouza magari, naombeni kwa yeyote atakaweza kuona au kusikia gari tajwa hapo juu naomba tuwasiliane kwa no 0763921242 au afike kituo chochote polisi. Asante