Gari aina ya rav4 l, inauzwa

Gari aina ya rav4 l, inauzwa

Mbwambo

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
625
Reaction score
95
nauza gari ya rav4 l, imetengenezwa mwaka 2000, rangiyake ni nyeusi.
Iko katika hali nzuri na imekua ikiendeshwa na mwanamke
bei yake million 11.
sababu ya kuuza:
Ninanunua gari nyingine , sitaweza kutumia garimbili .
gari hii iko kwenye hali nzuri na unakaribishwa kuja na fundi wakoaiangalie.

Wasiliana na: 0713 68 96 65

 

Attachments

  • Dar es Salaam-20130923-00559.jpg
    Dar es Salaam-20130923-00559.jpg
    235.1 KB · Views: 407
nauza gari ya rav4 l, imetengenezwa mwaka 2000, rangiyake ni nyeusi.
Iko katika hali nzuri na imekua ikiendeshwa na mwanamke
bei yake million 11.
sababu ya kuuza:
Ninanunua gari nyingine , sitaweza kutumia garimbili .
gari hii iko kwenye hali nzuri na unakaribishwa kuja na fundi wakoaiangalie.

Wasiliana na: 0713 68 96 65
gari la zamani bei mpya.
 
Ahhhhhh evaluate bei ya gari yako na hali yake na mwaka
 
Mkuu hiyo mashine ya miaka 13 unauza 11m na ikiwa ya 5yrs je? Weka6-7m at least
 
No,the price is veru high considering hiyo ni old model.better could be 3-4 milion.
 
Mkuu ikiendeshwa na mwanamke huwa inapaa haigusi chini?(kidding)

gari iko poa sema bei yako kubwa sana.
 
if you don't have money shut up , :busuThe price is right Keep on using daladala

I represent for the 820
Down with the rubberband man, y'all call me young K.I.
See I been an O.G., far from O.D.'n and this is
3 double K don't even call me Maurice, now listen
My description is tall, dark, skinny, and ill-
mannered
a hood negro with a little bit of shabaab be like
Say yo papi, I got, yayo papi if your price is right
come on down and y'all copy
watch me, I'm gettin' money like it's 1984
got so much cash Bill Gates could kiss my ass
 
nauza gari ya rav4 l, imetengenezwa mwaka 2000, rangiyake ni nyeusi.
Iko katika hali nzuri na imekua ikiendeshwa na mwanamke
bei yake million 11.
sababu ya kuuza:
Ninanunua gari nyingine , sitaweza kutumia garimbili .
gari hii iko kwenye hali nzuri na unakaribishwa kuja na fundi wakoaiangalie.

Wasiliana na: 0713 68 96 65


Dada samahani kama nitakukwaza ila ukiwa ukotayari kuchukua 7mil nitafute kwa biashara.
 
Na pia mnunuzi mwanamke auziwe bei ya kike mil6[/QUOTE


if you don't have money shut up , :busuThe price is right Keep on using daladala

hatuongeagi hivyo na wateja kaka, hiyo bei ni kweli iko juu kidogo ukilinganisha na gari yenyewe, sisemi kwamba hauwezi kuuza, unaweza kuuza kwa watu wasiofahamu, take it from the dealer!
 
Back
Top Bottom