Gari aina ya Noah inahitajika

Gari aina ya Noah inahitajika

mtanga255

Member
Joined
Sep 25, 2017
Posts
36
Reaction score
19
Habari wanazengo.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,elimu kidato cha 4 na nimepitia mafunzo ya udereva na kuhitimu.
kutokana na wimbi la ajira niliamua kuzunguka shule kadhaa kwa lengo la kutafuta ajira na ndipo nilipopata fursa ya baadhi ya shule kuhitaji gari ya kukodisha kwa ajili ya wanafunzi.

kwa mwenye gari aina ya noah iliyo nzima tunaweza saidiana kwa hili na tukafanya makubaliano na kufanya kazi kwa uaminifu zaidi.

asanteni.
 
 
Habari wanazengo.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,elimu kidato cha 4 na nimepitia mafunzo ya udereva na kuhitimu.
kutokana na wimbi la ajira niliamua kuzunguka shule kadhaa kwa lengo la kutafuta ajira na ndipo nilipopata fursa ya baadhi ya shule kuhitaji gari ya kukodisha kwa ajili ya wanafunzi.

kwa mwenye gari aina ya noah iliyo nzima tunaweza saidiana kwa hili na tukafanya makubaliano na kufanya kazi kwa uaminifu zaidi.

asanteni.
Cc yohane yaledi mtafute huyo
 
asante sana nitamtafuta.
 
Back
Top Bottom