Gari aina ya kia inauzwa 1.5m tu

Gari aina ya kia inauzwa 1.5m tu

Inawaka vizuri ila inazimazima, hiyo injini unaweza ukaibadilisha ukafunga 3S ya Toyota Rav 4 inakaa vizuri tu

mkuu ipo wapi hiyooo gari tuongee mbona waja nusu nusu kama vipi tumalizane hapa hapa jibu swali la mwisho inadaiwa miaka mingapi??

kama vipi chukua 1M
 
Iko Sinza,ni pm kama uko serious
 
Bavaria njoo uone gari ya 1.5.
 
Last edited by a moderator:
Wee unafikiri gari zote zinazotembea mjini vibali vimekamilika? Ukiona gari kumi ujue mbili ndio zimekamilika kila kitu

Ameuliza tu hujalipia road license muda gani? Isije kuzidi bei ya gari!
 
Mtego utoke wapi mkuu hii sio gari yangu ya bei rahisi ya kwanza kuuza nimeuza nyingi tu humu mkuu Zanzibar spices analijua hilo
Mkuu Zanzibar spice njoo utoe ushuhuda
 
Last edited by a moderator:
Mtego utoke wapi mkuu hii sio gari yangu ya bei rahisi ya kwanza kuuza nimeuza nyingi tu humu mkuu Zanzibar spices analijua hilo

Nikweli mkuu mie nakukubali sana kwa Kazi hii.
Tatizo watu wakiona rahisi saana wanaogopa,wameishazoea kupigwa mibei mikubwa.

Unaweza kuinunua na kesho ukiwa nayo njiani atu wanaona kama ya mamilioni vile.
Kuna gari humu kibao zinatumia Injini za Toyota na sio Toyota.

Huku Kuna jamaa ana Benz kali saana,ndani kaweka Ingine ya Toyota tena Salon maana hata kesi ya mafuta.

Mjini hapa.
Bei hiyo Ubwete,we kujua magariw atakuja kuichukua halafu wawauzie hao hao kwa 5m.
Mjini shule
 
Mkuu Zanzibar spice njoo utoe ushuhuda

Jamaa yupo Vizuri wakuu.

Na muhim ni kwamba unaenda kuona Bure wala humlipi kama unavyolipa dalali wa nyumba.Unamlipa tu nauli bassi.

Ifahamike kwamba yeye sio fundi,anakupeleka then wewe unaenda na fundi wako ili akushauri basi.
Ukipenda unalipia unasepa zako.

Hana longolongo,na muda mrefu anapiga issue hizi wakuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom