Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,882
- 2,762
Niko kwenye gari naelekea mzigoni. Hewani nasikia kibao chake cha mr politician. Namkumbuka na kumuonea huruma. Hii ni mara ya pili analamba joka na mtu ana kaunti. Mara ya kwanza ni aliposain mkataba feki na sony. Mara ya pili ni pale alipovua gwanda na kuvaa kitenge. Leo hii hakika angekuwa mahali pema mjengoni pamoja na sugu-wakiweka uwiano wa kijinsia dhidi ya uwakilishi wa wasanii na vijana. Anajuuta sasa. Nakaaya uko wapi dada? Ulianza vyema. Jipange tena, dada