GWALU''kuna mwana wa kikosi anajiita gwalu...ok nimekusoma japo mi nimeanza kisikiliza hihop ya kibongo 96 hivi, watu kama dogo hashimu, diplomats mamcees wa kwanza unit, mpaka kumjua sugu there after niga jay na watu wake,walume ndago na hiphop katuni up to know..ila real hihop niliisikia kwa kwanza unit, kikosi na nyimbo yao tunasonga, sugu na nyimbo zake kama vile polisi..wengine walikuwa wanafanya hiphop katuni/rap katuni haina ujumbe hiyo, kwakweli watu wa hiphop hasa kwa sasa wachache sana wengi mamluki na wapo kimaslahi,,na ndio maana mtu kama pina, sugu hawababaiki kama wanauza au hawauzi kwasababu wanajua maana ya hiphop, na angalia sana mamluki wengi wanawapinga watu wa kikosi, sugu kwa sababu wametekwa na wenye soko...lkn wachache tuliobaki tutazidi kuwakilisha hata kama kwa battle.