Aliekua mgombea umwenyekiti katika uchaguzi wa serikari za mitaa kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi NYINYIM BWANA MAHUSHI kaenda kupinga mahakamani ushindi wa CHADEMA kakika mtaa huo ni mtaa wa msalala rod kata ya kalangalala jimbo la Geita mjini hoja zake ni 1:KADAI WANAWAKE HAWAJAPIGA KULA 2:MWENYEKITI WA CHADEMA JIMBO ALIKUJA KWENYE KITUO CHA KUPIGIA KULA wakuu naomba mnisaidi kujuwa kama hizo sababu zinaweza kutengua ushidi