Galaxy Note 6 edge

Galaxy Note 6 edge

edger jairos

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
335
Reaction score
71
Hi.Naomba kuuliza sim twaja hapo juu imkua na ttizo la kupata moto sana na inpofkia asilima 70 za betri huwa ina zima ghfla,na baad y dakka nkiwasha ndo inawaka.yan kimcng inazima zima sana.Saidia plse...the problem and soln
 
Kuna uzi flan wa matatizo ya Android kuna ma experts kule nadhan wanaweza kukupa msaada
 
Hi.Naomba kuuliza sim twaja hapo juu imkua na ttizo la kupata moto sana na inpofkia asilima 70 za betri huwa ina zima ghfla,na baad y dakka nkiwasha ndo inawaka.yan kimcng inazima zima sana.Saidia plse...the problem and soln
natumia betri la removable or non_removable ? jibu kuanzia hp je simu yako ishadondoka chini au unachaji huku unaotumia au betri lake lina muda mrefu ?
 
Betrii n removable na matatizo yte hayo naona ndo unagusa mulemulemkuu
 
natumia betri la removable or non_removable ? jibu kuanzia hp je simu yako ishadondoka chini au unachaji huku unaotumia au betri lake lina muda mrefu ?
Yan kesi ni betri au AC but cjajua mnkenaona hata meno ya betri yamelika fln ivi..betr imechoka nanahc ina mda mrefu cooz nlnunua mda
 
natumia betri la removable or non_removable ? jibu kuanzia hp je simu yako ishadondoka chini au unachaji huku unaotumia au betri lake lina muda mrefu ?
031c77bc14c354fc4d71498612587ff4.jpg
 
Yan watu wengine wansema AC wengine betri mpka nachanganykiwa..
 
Yan kesi ni betri au AC but cjajua mnkenaona hata meno ya betri yamelika fln ivi..betr imechoka nanahc ina mda mrefu cooz nlnunua mda
Huna ufundi lkn unaanza kuleta ujuzi wako ukiwa unasaidiwa eleza unachoambiwa
 
Ni bira nikusanye info kuhus ttzo il nkiend kwa fnd tujue tunaanzaje.n kushglkia ttzhusik mnk mfnd weng wa kuigiz
Aghh wewe ndio unaigiza mkuu, nenda kwa fundi wakueleweka aichungu yeye atakupa jibu sio uende na majibu
 
Back
Top Bottom