kisamvumoo
Member
- Jun 28, 2011
- 7
- 0
Wananchi wa jimbo la Gairo mkoani Morogoro wamempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kutekeleza ilani ya uchaguzi sambamba na ahadi zake alizotoa mwaka 2008 katika jimbo hilo, ikiwemo ya kuifanya Gairo kuwa wilaya inayojitegemea, ujenzi wa barabara, pamoja na visima vya maji vitakavyosaidia kuondoa adha ya maji katika jimbo hilo.