Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 2,914
- 6,004
Aje tu.Kama Jabir Aziz aliweza kuifunga Brazil ya akina Dani Alves unadhani Yanga ya Gael Bigirimana haitafungika?
Halafu huyo hatakuwa na maajabu yoyote sawa na Bertram Mwombeki na Saido Ntibanzokiza waliosajiriwa Simba na Yanga wakitokea Marekani na Ufaransa.
Halafu huyo hatakuwa na maajabu yoyote sawa na Bertram Mwombeki na Saido Ntibanzokiza waliosajiriwa Simba na Yanga wakitokea Marekani na Ufaransa.