Nimekuta taarifa hii sehemu kuhusiana na Mkurungenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala jijini Dar- es- Salaam, Gabriel Fuime (61), kufikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu mashitaka manne ya mauaji ya watu wanne.
Ambapo Fuime alisomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi Augustina Mmbando, ikidaiwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Bernad Kongola , kuwa Machi 29, 2013 katika mtaa wa Indira Ghadh Dar –es- Salaam, mshtakiwa aliwaua kwa makusudi Gabriel Kamwela, Philipo Kusimala, Bethod Mwanengule na Zahda Kanji.
Kwa jinsi ninavyomfahamu X DED sielewi ilikuwaje ni ajali au nini?, Kama kuna mtu anafahamu 'details' za mauaji haya atujuze.
Ambapo Fuime alisomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi Augustina Mmbando, ikidaiwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Bernad Kongola , kuwa Machi 29, 2013 katika mtaa wa Indira Ghadh Dar –es- Salaam, mshtakiwa aliwaua kwa makusudi Gabriel Kamwela, Philipo Kusimala, Bethod Mwanengule na Zahda Kanji.
Kwa jinsi ninavyomfahamu X DED sielewi ilikuwaje ni ajali au nini?, Kama kuna mtu anafahamu 'details' za mauaji haya atujuze.