Futuhi mmechemsha kwa hili

Futuhi mmechemsha kwa hili

IYOMBO

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2015
Posts
381
Reaction score
218
Najua huwa mnapita pita humu jukwaani kimsingi kitendo cha kumpigia promo mgombea wa uraisi kupitia ccm tena kwenye media kubwa kama STARTV hakikubaliki hata kidogo.

Kimsingi wachekeshaji hawa(Okeche na Braza K) wamelenga kumfanyia kampeni Magufuli kwa kumsifia katika segment waliyoiandaa.

ONYO: Kama mkiendelea na tabia hiyo wapenzi wenu wengi wa kipindi watawakimbia maana si wote ni CCM.
 
nimeangalia pia, je kuna uongo gani katika hilo waliloigiza??
ukifanya kazi vizuri watu watakusifu popote utakapoenda
 
Nenda zako, hamkati tamaa tu!? AMEKATWA...!

Taabu yenu mnahisi watu wote wanasiasa,hii tabia ya kusifu watu wakati wako ktk mchakato wa kugombea si mzuri hata kidogo kwani kitendo hiki kinatafsiriwa kama kuanza kampeni mapema lakini kwa sababu mzee lubuva mmeweka mfukoni endeleeni tu.
 
Braza k noma sana, magufuli juuu juuu zaid
 
nimeangalia pia, je kuna uongo gani katika hilo waliloigiza??
ukifanya kazi vizuri watu watakusifu popote utakapoenda

Hebu jiulize swali kuwa, walikuwa wapi kumsifu kabla ya kuchaguliwa kuwa mgombea? Inamaana hawakuona hapo mwanzo kama ni mtendaji? Acha uccm naufikili mara mbili.
 
Taabu yenu mnahisi watu wote wanasiasa,hii tabia ya kusifu watu wakati wako ktk mchakato wa kugombea si mzuri hata kidogo kwani kitendo hiki kinatafsiriwa kama kuanza kampeni mapema lakini kwa sababu mzee lubuva mmeweka mfukoni endeleeni tu.

Kweli fedha fedheha! mnateseka sana.
 
Mimi huwa naangalia segment moja tu ya "Mtafiti" then nahamisha channel.
 
Leo wamevuruga sana baada ya kuonesha ushabiki wa chama.
 
Daah! Watu humu ndani mpo fasta kweli. Mtoa maada umeniwahi, nilitaka kuliuliza nami hilo/li! Yaani binafsi nimewaona walivyolipiga lile debe, hadi nikashtuka na kujiuliza maswali yasiyo na majibu, kama vile, 'sijui wamepewa maneno hayo na mmiliki wa kituo ama la? N.k'
 
Halafu jambo lengine wanalo kosea mara kwa mara (mtazamo wangu), yaani ninavyoamini wao wapo Mwanza na wanarekodi michezo yao Mwanza hukox2, ila kitendo cha kutaja taja majina ya maeneo ya mji wa Dsm, mara kwa mara, ni kujiaibisha kwa kweli. Kwa nini wasitamke maeneo waliopo ili kulitangaza jiji la Mwanza? Mfano, Leo Okechi alipofungua kipindi, kasema yupo kigamboni, na nijuavyo mimi, Tanzania hii, kigamboni maarufu ipo Dsm tu. Haya wengine nao wakataja mbagala kwa azizi ally. Ni ULIMBUKENI kwa kweli.
 
Tunawakubali na kuwapenda Futuhi, ila mkiingiza siasa maji taka, katika michezo yenu, mtawapoteza wengi nanyi mtashuka thamani. Waulizeni komedi wenzenu waliotangulia, baada tu ya kuingiza vijisiasa siasa, kwa sasa wanahaha. Halafu siyo wote wana-siasa, muelewe hilo.
 
ninavyojua Mimi star tv inamilikiwa na mbunge wa ccm, na hiki ni kipindi cha kampeni mengi yatatokea kipindi hiki kwenye vyombo vya habari, media nyingi sasa ni kipindi cha mavuno.
 
ninavyojua Mimi star tv inamilikiwa na mbunge wa ccm, na hiki ni kipindi cha kampeni mengi yatatokea kipindi hiki kwenye vyombo vya habari, media nyingi sasa ni kipindi cha mavuno.

ona huyu hajui kuwa dialo alikula kichapo kutoka kwa mapeoples
 
Najua huwa mnapita pita humu jukwaani kimsingi kitendo cha kumpigia promo mgombea wa uraisi kupitia ccm tena kwenye media kubwa kama STARTV hakikubaliki hata kidogo.

Kimsingi wachekeshaji hawa(Okeche na Braza K) wamelenga kumfanyia kampeni Magufuli kwa kumsifia katika segment waliyoiandaa.

ONYO: Kama mkiendelea na tabia hiyo wapenzi wenu wengi wa kipindi watawakimbia maana si wote ni CCM.

Sio ivyo tu hata kwa mbunge ambaye anataka kupambana na wenje yani watanifanya niwa delete kama nivyofanya kwa Cloudz fm na TV
 
nimeangalia pia, je kuna uongo gani katika hilo waliloigiza??
ukifanya kazi vizuri watu watakusifu popote utakapoenda

Kumbe ishu ni kumsifia Magufuli,nadhani wangemponda jamaa ndo angefurahi,duh wabongo bhana!.
 
Vipi Magufuli kuwa mgeni Rasmi Kagame Cup?
 
Najua huwa mnapita pita humu jukwaani kimsingi kitendo cha kumpigia promo mgombea wa uraisi kupitia ccm tena kwenye media kubwa kama STARTV hakikubaliki hata kidogo.

Kimsingi wachekeshaji hawa(Okeche na Braza K) wamelenga kumfanyia kampeni Magufuli kwa kumsifia katika segment waliyoiandaa.

ONYO: Kama mkiendelea na tabia hiyo wapenzi wenu wengi wa kipindi watawakimbia maana si wote ni CCM.

Hahaaa km namuona Braza K alivyokuwa anahaha ofisin kisa magufuli. Bt kiuhalisia star tv mmiliki wake keshawah kuwa mbunge pitia ccm km aliamua ivyo wao km wafanyakaz nadhan walifuata mijered yake tu na c taaluma au vpaj vyao
 
Back
Top Bottom