IYOMBO
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 381
- 218
Najua huwa mnapita pita humu jukwaani kimsingi kitendo cha kumpigia promo mgombea wa uraisi kupitia ccm tena kwenye media kubwa kama STARTV hakikubaliki hata kidogo.
Kimsingi wachekeshaji hawa(Okeche na Braza K) wamelenga kumfanyia kampeni Magufuli kwa kumsifia katika segment waliyoiandaa.
ONYO: Kama mkiendelea na tabia hiyo wapenzi wenu wengi wa kipindi watawakimbia maana si wote ni CCM.
Kimsingi wachekeshaji hawa(Okeche na Braza K) wamelenga kumfanyia kampeni Magufuli kwa kumsifia katika segment waliyoiandaa.
ONYO: Kama mkiendelea na tabia hiyo wapenzi wenu wengi wa kipindi watawakimbia maana si wote ni CCM.