Wakuu hili zoezi Kinyakyusa tunasema imbombo jilipa yaani 2015 usishangae CCM wakakosa kiti hata kimoja cha udiwan ARUSHA
Fedha za world bank zilizofichwa miaka yote Lema ameenda kuzifichua na sasa barabara nyingi Arusha ni lami mapato ta ndani yamedhibitiwa.
Mkuu mleta mada,
Hebu tujuze LEMA alizifichuaje hizo fedha wa WB? na zilikuwa zimefichwa wapi?
Vipi kuhusu miji mingine iliyojengewa barabara kwa mpango huu huu wa World Bank? huko nako nani "alizifichua?" kwa mfano dodoma.
hivi unatudanganya kuwa lema ndiyo alifuchua fedha za world bank. Kwa taarifa yako lema hata ukimwambia andae simple propasal apeleke crdb apate mkopo hawezi, wala world bank aitambui kitu kinachoitwa lema, acheni siasa uchwara