Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,324
Ni Fuso la kubeba Mchanga limepita kwenye njia nyembamba sana ya kupita magari madogo bajaj pikipiki na baiskeli lilikuwa linaenda kumwaga mchanga sehemu, bahati nzuri maliwatoni kulikuwa hamna mtu angekuwepo mtu sijui ingekuwaje
Hapo tyre za upande wa kushoto za nyuma ya fuso zikiwa zimevunja choo na kutaka kutumbukia ndani ya shimo la choo
Mkarandinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app