Karibu mkuu!
Kuna options mbili hapa za u admin
1. Kuwa general system admin, hapa utakuwa na uwezo wa ku admin the whole system kwa mfumo wa resell.
2. School admin, hapa institute husika itachagua admin ambaye atakuwa responsible kwenye ku add tutors na kusimamia mfumo mzima kwa ngazi ya shule