Watu wengi wanaokwenda kuwekeza DRC Congo kutoka Tanzania hurudi wakiwa na utajiri mkubwa. Je, ni biashara gani hasa wanazofanya huko zinazowaletea mafanikio haya?
Kule vyakula kama maharage, mchele ni unyama, pia vinywaji kama juisi ni sawa maana kama Congo ya upande wa Zambia wanategemea sana vinywaji kutoka Zambia
Kule vyakula kama maharage, mchele ni unyama, pia vinywaji kama juisi ni sawa maana kama Congo ya upande wa Zambia wanategemea sana vinywaji kutoka Zambia