Mkuu hiyo wilaya iko shinyanga ni ngum sana kwanza jiandae kisaikolojia mazingira yake yanaweza kukusumbua mwanzoni.
Ni wilaya ambayo iko nyuma sana zaid sana, ukame wa hapo hata kilimo hakikubali,,, labda ukafungue duka la jumla na rejareja kama mtaji unao ili uwasogezee huduma karibu..
Pambana usikubali mazingira yake yakukatishe tamaaAsante ntapambana mdomdo.
Mungu akubarik, kukaa mjin wakat huingiz chochote haina maana yoyote na dunia hii hakuna anaeweza kukuthamin kama hauna chochote.. mm pia nlishafanya kaz hiyo wilaya miaka miwil iliyopitaAsante sana hii inantia nguvu sana, nimeshadhamiria kuweka kamb popote coz kungangania town ilhali huna cha kufanya hakuniingzii chochote. Acha nikapambane
MkuuKwa sasa Kishapu wanakaribia kuvuna pamba.
sasa basi wale wasukuma wewe wanunulie viatu tu pale karume zile namba 8,9,10 na 11 kwa buku 5 tano kisha kauze huko. Hutojuta
Fursa nyingine sitakwambia maana na mimi nimetoka kariakoo jana tu kufuatilia mzigo. Ni hot sana.. ukipenda njoo pm tuyajenge..
(Faida ni mara 2 ya mtaji ukiwa mvumilivu)
sema mremboMkuu