Fursa za biashara nchini Malawi

Lavit

JF-Expert Member
May 16, 2011
14,752
32,334
Wadau,

Naomba watu wenye uzoefu wa biashara katika hii nchi wanipe uzoefu, je ni biashara gani toka Tanzania inalipa huko, je toka huko naweza leta nini Tz? Sera zao za biashara zikoje? Vipi thamani ya pesa yao?

Natanguliza shukrani!
 
Mbona mna mtisha? kufanya kazi eneo lolote u must take risk! Malawi si ngumu kihivyo nimefanya sana biadhara ! kwanza inategemea unataka ufanye biashara gani legal au backyard bizness! Legal tulikuwa tunapeleka vikoi lilongwe vinalipa vizuri, pia ukipeleka redbul inalipa ila kwao ni kosa so unauza kwa siri. Govt ilipiga marufuku redbul. Then kutoka kule kifanikiwa kuvusha viroba vinaitwa Double punch, power,rider, sukari, ulezi kwao cheap ukifika upande wa Tz unapiga bao! Ukienda usivae suti va kawaida saana na ili upate uzoefu safiri na Taqwa ya lilongwe strait utawakuta kina mzee abuu wenyeji mtayajenga
 
Mbona mna mtisha? kufanya kazi eneo lolote u must take risk! Malawi si ngumu kihivyo nimefanya sana biadhara ! kwanza inategemea unataka ufanye biashara gani legal au backyard bizness! Legal tulikuwa tunapeleka vikoi lilongwe vinalipa vizuri, pia ukipeleka redbul inalipa ila kwao ni kosa so unauza kwa siri. Govt ilipiga marufuku redbul. Then kutoka kule kifanikiwa kuvusha viroba vinaitwa Double punch, power,rider, sukari, ulezi kwao cheap ukifika upande wa Tz unapiga bao! Ukienda usivae suti va kawaida saana na ili upate uzoefu safiri na Taqwa ya lilongwe strait utawakuta kina mzee abuu wenyeji mtayajenga
Asante mkuu umenipa mwanga ...nashukuru!!
 
Kwenda kule vitenge,vikoi ka mkuu azungumzavyo hapo juu na kurud we kama una mtaji anzsha issues ya mbao na kuku wa nyama o vifaranga!,ila pumba yao ni cheap mno lkin kinacholeta mkwamo watz weng isemekanavyo wanasema ina milipuko ya magnjwa!
 
Back
Top Bottom