Fursa ya kuwekeza kwa msingi mdogo

Hiyo phase two ni kwamba mwisho wa siku aliyeweka 5M atapata 7.5M? Na jee baada ya hapo ndio basi?


Ndiyo, aliyewekeza 5M atapata 7.5M guaranteed.

Baada ya hapo tukianza phase nyingine anaweza kuwekeza tena. Huwa tunawekeza kwa muda mfupi mfupi kwa sasa.
 
Mradi wetu wa awali unaenda vizuri sana, tunashukuru.

Tulikamilisha kupata wawekezaji tuliotarajia na sasa wanarudisha pesa zao.

Unakaribishwa kujionea mwenyewe shughuli zetu.

Hivi karibuni tunaanza phase mpya ya uewekezaji mweingine, nimeuelezea kwenye posti namba 115, tafadhali ipitie.

Kaaribu sana.
Asante,nitakuja.
 
Wasi wasi wangu hapa je? sio riba hii.


Tumelitazama sana hilo kabla ya kuanzisha hii miradi ya uwekezaji tukajiridhisha kuwa hakuna riba. Moja ya sababu kuwa hatujataka mikopo ya benki.

Unaweza kuisoma hapa miradi yetu na unaweza kujisomea kuhusu "Islamic Investment" ili kujiondoa wasiwasi.

Pia kama una swali lolote kuhusu ulichokiona kikakufanya uhisi kuna riba tunaomba utuulize ili tuweke wazi pasi na shaka.

Asante.
 
Tunawaomba wote mnaopitia huu uzi mjisomee posti namba 115 kwa phase mpya ya uwekezaji.

Nimefurahishwa sana na wazo lenu na jinsi unavyojibu maswali kwa ufasaha, hiyo peke yake imanifanya nianze kuwaamini kabla hata ya kuwatembelea miradi yenu. Naomba kuuliza, mmefanya insurance yoyote kwa asset zenu ili hata kama inatokea chochote mali zenu na wawekezaji wenu wasipate hasara?

Muundo/Mfumo wa kampuni ukoje, ni formal organization au ni biashara ya familia tu? Nauliza hivyo sio kwa lengo baya, ni kujua sustainability ya kampuni, ikitokea wewe haupo kwa sababu moja ama nyingine, uhakika wa wawekezaji kupata pesa zao. Nafikiri utanielewa na natanguliza shukrani zangu.

Mungu awabariki
 
Ukisoma Post Hii Kimbiaa Kwa speed ya Kilometer 180 kwa Saa ..wala usithubutu kusoma Tena ..wanatumiaga Mpaka dawa hawa Kwnye maandishi... unaweza jikuta umedumbukia
 
Ndugu yangu bado unaendelea tu kutuita matapeli? Tumekutapeli nini?

Sisi tumeweka ID zetu wazi, namba zetu za siu wazi, anuani ya kwetu ipo wazi, kuna wana JF wengi sana wameshafika kwangu na wananijua, kama unasema kweli tunaomba jiweke na wewe wazi utueleze tumekutapeli nini?

Pia tungependa sana tuwasiliane na wewe ili tuyatatue haya ya kutuita matapeli kisheria.

Katika jambo jema na lenye tija vikwazo na mapingamizi hayakosekani. Kama anashindwa kuthibitisha utapeli wenu asiwasumbue sana kujibishana nae, mwenye kutaka kuwekeza atawatafuta tu, msipoteze muda na nguvu kujibishana nao.

Hasbunna Llahu wa Neema L'wakil. (FaizaFoxy )
 
Ukisoma Post Hii Kimbiaa Kwa speed ya Kilometer 180 kwa Saa ..wala usithubutu kusoma Tena ..wanatumiaga Mpaka dawa hawa Kwnye maandishi... unaweza jikuta umedumbukia
Dah, kivipi mkuu! hebu fafanua isikute unaharibu biashara za watu bila kuwa na sababu za msingi.


Tutoe hofu
 
Leo nawaletea fursa ya kuwekeza salama kabisa.

Kama una fedha zimekaa bure au unaziweka benki basi hii ni fursa ya kujiongezea kipato bila jasho, kwani kazi zote za kuwekeza tutazifanya sisi, wewe unawekeza fedha zako na zinakuzalia.

Tunakuhakikishia pesa utazowekeza zitakuzalia 100% kwa mwaka na au zaidi.

Pesa za mwanzo kuanzia ni TZS 500,000/=

Hatutachukuwa wawekezaji zaidi ya 20 kwa miezi sita ya mwanzo.

Pesa utazowekeza tunaziingiza katika biashara za halali kabisa ambazo zipo tayari zinafanyika.

Ukianza na kuwekeza shillingi 500,000/- tunakuhakikishia malipo ya shillingi 20,000 kila wiki kwa wiki 52

Plan A:
Ukiweka 500,000 utalipwa baada ya siku 30 au chini ya hapo za mwanzo, Shillingi 20,000 kila wiki X wiki 52 = 1,040,000

*Service charge yetu ni shillingi 40,000 kwa hiyo unabaki na 1,000,000 kamili.

Kwa plans zingine unaweza kuwasiliana na Babu Abdul 0625249605

Tunapenda ifahamike kuwa hii si desi wala "pyramid scheme", huu ni uwekezaji halali, sisi tunawekeza katika kazi halali zilizopo hapa kijijini kwetu Misugusugu, Kibaha. Kama vile machimbo ya mchanga, bodaboda, maduka ya hardware, mini market, maduka ya vyakula, uuzaji wa kokoto, uuzaji wa mbao.

Ukipenda unaweza kututembelea wakati wowote, miradi yote tunasimamia wenyewe na vijana tuliowaajiri.

Kama una maswali yoyote tafadhali uliza na Babu Abdul (Mume wangu) atayajibu.

Mradi huu kwa kuwa msimamizi mkuu ni mume wangu, Babu Abdul, maswali yote na mawasiliano yatakuwa yanapitia kwake.

Asanteni.


Acheni hadithi za Sungura na Fisi.
 
Tunawaomba wote mnaopitia huu uzi mjisomee posti namba 115 kwa phase mpya ya uwekezaji.

Ningeshauri post 115 ipandishwe kwenye post ya mwanzo kabisa Kama updates Ili kila anaeingia kusoma apate fursa ya kuelewa mchakato mzima unavyoenda na Maendeleo yake. Shukrani
 
Back
Top Bottom