Hellows.. Natafta vijana watano makini, wanaoijiamin, wenye uwezo wa kujieleza na walio tayar kufanya kazi kwa bidii.. kutoka mikoa tofaut na dar es salaam.. Mtaji unaotakiwa ni kias sio chini ya 100,000/=....biashara nayofanya ni ya bidhaa za urembo kutoka sweden kampuni iitwayo oriflame ambayo wengi wa wenyeji wa dar es salaam wanaifaham.... Anaehitaji maelezo zaid ani PM