Fursa kwa walio Lindi

Nduka

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2008
Posts
8,552
Reaction score
2,385
Tunahitaji vijana wanaoishi katika halmashauri ya Lindi kwa ajili ya kazi ya kukusanya data kwenye utafiti unaofanywa eneo hilo. Sifa ni wanafunzi waliopo kidato cha sita au vyuoni wanaotaka kupata kujipatia kipato kwenye muda wao wa ziada hasa wikiendi. Tunalipa vizuri lakini pia ni fursa ya kujifundisha kukusanya data. Watakuwa chini ya uangalizi wa mwanafunzi wa ngazi ya uzamili. Kama unahitaji nafasi hii nitumie PM. Asante.
 
daaaaa, ingekuwa morogoro hiyo ningeichamkia. mkuu nduka hamna program kwa mkoa wa morogoro?
 
Ok..niko lindi,nitafute kwa barua pepe (matwengo@gmail.com)nitakuunganisha na baadhi ya vijana wenye weledi na kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…