Fursa kwa walimu wa awali tanzania

Fursa kwa walimu wa awali tanzania

Allaika

Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
16
Reaction score
1
Kupitia Shirika la Friends of East Africa Chieldhood Development Care and Education Tz, kwa ushirikiano na Omep world www.[B]worldomep.org/[/B]

Wanapenda kuwakaribisha wadau wote wa Elimu kwa kuanzia Elimu ya Awali

Lengo

Kuwaunganisha walimu wa Awali Tz na Wenzao wa KImataifa


Kupewa Elimu(Maarifa), Mafunzo, Usaidi, programu za kujiendeleza- Ujasiriamali jamii katika maeneo yao ya MIkoani.


Kumwinua Mwalimu wa Awali waliosahaulika na Serikali;

Kuwa wanachama wa Taasisi zote mbili FECDCE na Omep World kwa fursa tajwa

Kutambua ya Kuwa maslahi ya walimu ni duni na kuona umuhimu wa fursa hizimbaimbali wametoa nafasi 30 zitakazolipiwa Robo tatu ya ada na kilichobakia atamalizia Mwenyewe.


NI vyemauwe ni mtu mwenye maono ya ya maendeleo katika sekta husima (Elimu) wenye moyowa dhatiwa fikra BUnifu

Kwa maelezo zaidi tuma barua pepe kwenda friendofecdce@gmail.com
 
Asante kwa taarifa.
Kupitia Shirika la Friends of East Africa Chieldhood Development Care and Education Tz, kwa ushirikiano na Omep world www.[B]worldomep.org/[/B]

Wanapenda kuwakaribisha wadau wote wa Elimu kwa kuanzia Elimu ya Awali

Lengo

Kuwaunganisha walimu wa Awali Tz na Wenzao wa KImataifa


Kupewa Elimu(Maarifa), Mafunzo, Usaidi, programu za kujiendeleza- Ujasiriamali jamii katika maeneo yao ya MIkoani.


Kumwinua Mwalimu wa Awali waliosahaulika na Serikali;

Kuwa wanachama wa Taasisi zote mbili FECDCE na Omep World kwa fursa tajwa

Kutambua ya Kuwa maslahi ya walimu ni duni na kuona umuhimu wa fursa hizimbaimbali wametoa nafasi 30 zitakazolipiwa Robo tatu ya ada na kilichobakia atamalizia Mwenyewe.


NI vyemauwe ni mtu mwenye maono ya ya maendeleo katika sekta husima (Elimu) wenye moyowa dhatiwa fikra BUnifu

Kwa maelezo zaidi tuma barua pepe kwenda friendofecdce@gmail.com
 
Kwa uandishi wako SIDHANI kama hiyo

barua pepe hujakosea
 
Back
Top Bottom