mwasebason
Member
- Jul 11, 2013
- 16
- 2
Habari Mwalimu wa Physics na Mathematics anahitajika shule ya SANDY VALLEY iliyopo Kivule, Ilala - Dar es salaam.
SIFA ZA MWALIMU
1.Awe na Umahiri wa kufundisha
2.Awe na Shahada ya Elimu katika masomo tajwa.
Maombi yapelekwe shuleni kabla ya tarehe 05/05/2022 na Usahili utafanyika shuleni tarehe 05/05/2022
Kwa maelezo zaidi
0620685359
SIFA ZA MWALIMU
1.Awe na Umahiri wa kufundisha
2.Awe na Shahada ya Elimu katika masomo tajwa.
Maombi yapelekwe shuleni kabla ya tarehe 05/05/2022 na Usahili utafanyika shuleni tarehe 05/05/2022
Kwa maelezo zaidi
0620685359