Furniture zinauzwa

Furniture zinauzwa

Mbwambo

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
625
Reaction score
95
Vitu mbali mbali vinauzwa

System, Radio ya Sonny whats 4600 beiyake-300,000/=
Meza ya chakula ya mninga na viti vyake sita-260,000/=, Kabati la TV na kuwekea vitu vingine kubwa- 300,000/=,Makochi/sofa kubwa- watu 3-300,000/=, madogo mawili kila mmoja(kochi)-100,000/=

Wasiliana na 0713-689665


 
vitu mbali mbali vinauzwa

system, radio ya sonny whats 4600 beiyake-300,000/=
meza ya chakula ya mninga na vitivyake sita-260,000/=, kabati la tv na kuwekea vitu vingine kubwa- 300,000/=,makochi/sofa kubwa- watu 3-300,000/=, madogo mawili kila mmoja(kochi)-100,000/=
wasiliana na 0713-689665
tukusaidie weka taarifa vizuri sema uko wapi, kwa nini wauza maana ni vitu vya ndani ili kurahisisha kwa interested buyers coz utakuta uko moshi msomaji anaetaka yuko tunduma sasa hii c biashara kichaa!!! Be specific najua umeweka namba ya simu lakini rahisisha mawasiliano kama mtu yuko mbali asiharibu pesa kukupigia we mtaalam plz!!!
 
Back
Top Bottom