kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Inasemekana meneja wa club ya TP MAZEMBE yuko cairo makao makuu ya CAF akiangalia vifungu ili timu yake ikate rufaa dhidi ya maamuzi ya kamati ya maandalizi ya ligi ya mabingwa Africa,maamuzi ambayo jana yaliifanya simba sc kuendelea na mashindano.
Watani zangu simba msipende ushindi wa mezani!!
Watani zangu simba msipende ushindi wa mezani!!