Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kutoka Wilaya ya Kinondoni, Comrade Furaha Dominick amechukua fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Kawe.
Tukio hili limekuja baada ya Bunge kuvunjwa rasmi na chama cha CCM kutangaza nafasi za kuchukua fomu za udiwani na ubunge.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Furaha amejitokeza kuingia kwenye mchakato wa uchaguzi kwa lengo la kuwakilisha wananchi wa Kawe.
Hii ni hatua muhimu kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika hivi karibuni.
Tukio hili limekuja baada ya Bunge kuvunjwa rasmi na chama cha CCM kutangaza nafasi za kuchukua fomu za udiwani na ubunge.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Furaha amejitokeza kuingia kwenye mchakato wa uchaguzi kwa lengo la kuwakilisha wananchi wa Kawe.
Hii ni hatua muhimu kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika hivi karibuni.