Funguka Mbunge Wako Yukoje?

Mie mbunge wangu John Mnyika, kila siku yeye kulalamika tu na kusambaza simu za viongozi kwa wananchi ili wawatukane. Ameshindwa kusambaza maji anasambaza matusi

mbunge wangu Nchemba IGP wa Green Gadi,importer wa mabomu toka China,Dictionary matusi ya nguoni JF,ID ka 30 zote za kutukania watu
 
Mimi mbunge wangu alipokonywa uwaziri bado ana maumivu makali.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mimi nipo na dewji singida,ila nimewahi kumuona kwenye gazeti tu,japo alikujaga mwaka jana kugawa wali,kanga,tishet na kofia,mimi sikubahatika kula wali ila najiandaa kwa mgao wa wali kwa mwaka huu maana ndio utekelezaji wa irani ya mbunge wetu
 
Hahaaaaa mi wa kwangu ndo anayeongoza jiji safi kuliko yote tz japo kwa sasa niko kwa huyo wa dar_moro mwenye magari mekundu...
 
Me mbunge wangu co mkubwa ni bwana m...pande za chalinze ,huyu jamaa kama ni mdudu bac nnzi yan hana maisha marefu ktk siasa,bungeni haonekan na jimbon ndo kabisaaa
 
La wangu ni kila hakuna,ni mbunge wa jimbo la mikumi .huyu ameuliza maswali matatu tu.hana mchango wowote.tunamwaga 2015.
 

jimbo langu CDM na NCCR wamedhihirisha ubinafsi na kwamba wapo tayari kutawaliwa milele,wamechakachuana hatimaye wameiachia CCM nafas zote za.M/kiti na Makamu wake
 
La wangu ni kilaza hakuna,ni mbunge wa jimbo la mikumi .huyu ameuliza maswali matatu tu.hana mchango wowote.tunamwaga 2015.
 
Wakwangu mi yupo dar huko amefufua matreni ya mkoloni kasahau kua huku kwetu tunangaamia na kipindupindu kwa kunywa mikojo ya vyura
 

Abood unaona uvivu wa kumtaja angali umesema mlimpitisha kwa kura nyingi, hayo ndo matunda yake na myafurahie kwa mlichokitaka
 
Mie mbunge wangu John Mnyika, kila siku yeye kulalamika tu na kusambaza simu za viongozi kwa wananchi ili wawatukane. Ameshindwa kusambaza maji anasambaza matusi

Sambaza wewe kwa kunganisha bomba kwenye tundu lako la maji.
 
Mie mbunge wangu John Mnyika, kila siku yeye kulalamika tu na kusambaza simu za viongozi kwa wananchi ili wawatukane. Ameshindwa kusambaza maji anasambaza matusi

Wewe huna shukrani kwani awali maji mlikuwa mkiyapata mara moja kwa mwezi na sasa zaidi ya mara 2 kwa wiki, barabara mmerekebishiwa. Nadhani wewe ndo utakuwa na matatizo
 
Mi wa kwangu muda wote ni kuunga mkono mia kwa mia kila hoja inayotoka serikalini, nadhani mnamfahamu vizuri.

Hao ni wengi na ni kutoka ccm ungemtaja kwa jina ndo angejulikana
 
dah huku kwangu huyu mdudu anaitwa makongoro kakini hata hiyo supu yenyewe hatujawahi kuiona maana hata matokeo ya uchaguzi walikata umeme ndo wakamtangaza sasa cjui anaona aibu kututembelea au vp.
 
Mbunge wangu anatukana f.....k you wabunge wenzake na inasemekana anatoa 0713 nadhani alitamani Obama ahalalishe ili apate kujiachia, tusi lake linamrudia kwa vitendo kila inapofika jioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…