WAISLAMU TUMEFIWA NA SHEIKH WETU KIPENZI
وصية الشيخ الإمام ربيع لأبنائه أن لا يقام له مجلس عزاء
وهذه رسالة لأحد أبناء الشيخ ربيع رحمه الله :
"السلام عليكم
الأخوة الأحبة
العزاء عن طريق الواتس يكفي
او الاتصال
وصية الوالد رحمه الله لا يقام له مجلس عزاء
لاتنسوه من صالح الدعاء"
Wosia wa Sheikh Imam Rabi’ kwa watoto wake ni kwamba asifanyiwe kikao cha maombolezo.
Na huu ni ujumbe kutoka kwa mmoja wa watoto wa Sheikh Rabi’ (rahimahullah):
**"Assalaamu alaykum
Ndugu wapendwa,
Kutoa pole kupitia WhatsApp inatosha,
au kwa kupiga simu.
Wosia wa baba (rahimahullah) ni kwamba asifanyiwe kikao cha maombolezo.
Msimusahau katika dua njema."**