Funga za Sunnah kwa Waislamu

Funga za Sunnah kwa Waislamu

_*KESHO NI FUNGA YA ALHAMISI KATIKA MIEZI MITUKUFU*

قال ﷺ | من صام يومًا في سبيلِ اللهِ ، باعدَ اللهُ وجهَهُ عن النَّارِ سبعينَ خريفا.

Mtume ﷺ amesema: "Anayefunga siku moja kwa ajili ya Allah, Allah atamuepusha(atauweka mbali) uso wake na Moto wa Jahannam kwa umbali wa miaka sabini."
﴿ متفق عليه

Nasaha:
Hata kama hufungi, basi wakumbushe wengine... kwani kuna wengi watakao funga kwa sababu ya ukumbusho wako, nawe utapata thawabu zao Biidhni llaah.
قال رسول الله ﷺ:
«مَن دلَّ على خيرٍ، فله مثلُ أجرِ فاعِلِه»

Amesema Mtume ﷺ:
"Aliyeongoza kwenye kheri atapata thawabu sawa na yule atakayefanya kheir hiyo-(bila kupunguza chochote katika ujira wao)."
رواه مسلم_

Kwa faida mbali mbali ungana nasi YOUTHS SALAFIYYAH_TZ 🇹🇿kupitia link 👇🏼

 
WAISLAMU TUMEFIWA NA SHEIKH WETU KIPENZI
وصية الشيخ الإمام ربيع لأبنائه أن لا يقام له مجلس عزاء
وهذه رسالة لأحد أبناء الشيخ ربيع رحمه الله :

"السلام عليكم
الأخوة الأحبة
العزاء عن طريق الواتس يكفي
او الاتصال
وصية الوالد رحمه الله لا يقام له مجلس عزاء
لاتنسوه من صالح الدعاء"
Wosia wa Sheikh Imam Rabi’ kwa watoto wake ni kwamba asifanyiwe kikao cha maombolezo.

Na huu ni ujumbe kutoka kwa mmoja wa watoto wa Sheikh Rabi’ (rahimahullah):

**"Assalaamu alaykum
Ndugu wapendwa,
Kutoa pole kupitia WhatsApp inatosha,
au kwa kupiga simu.
Wosia wa baba (rahimahullah) ni kwamba asifanyiwe kikao cha maombolezo.
Msimusahau katika dua njema."**
 
Hakika ya kuondoka kwa Wanazuoni ni pigo kubwa sana kwa Ummah wa Kiislamu
 

Attachments

  • Screenshot_20250710-044052_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20250710-044052_WhatsApp.jpg
    189.4 KB · Views: 6
  • Screenshot_20250710-044059_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20250710-044059_WhatsApp.jpg
    393.8 KB · Views: 10
  • Screenshot_20250710-044106_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20250710-044106_WhatsApp.jpg
    343.3 KB · Views: 7
  • Screenshot_20250710-044114_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20250710-044114_WhatsApp.jpg
    364 KB · Views: 6
Back
Top Bottom