Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 4,890
- 8,214
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh
Mods mada hii ni ya kutoa Elimu kwaio msiiunganishe na Ramadhan thread
Kwa nia njema Waislamu wenzangu tutakua tunakumbushana kuhusu funga hasa funga za Sunnah ambazo watu wengi wameghafilika nazo kwaio kama utakua na Elimu iliyosahihi basi tuhabarishane kuhusu funga za Sunnah kwani kule peponi kuna mlango unaitwa Raiyyan ambao wataingia wale wenye kufunga sanaa
Kwa siku ya leo tukumbushane kuhusu funga ya Ashuraa ambayo inapatikana katika mwezi mtukufu wa Muharram ndani ya tarehe 10
t.me
═════🍃🌹🍃═════
🔥UFAFANUZI WA FUNGA YA ASHURA & TASUAA🔥
💫ما حكم صيام يوم عاشوراء فقط؟ وهل الأفضل صيام اليوم الذي قبله أم الذي بعده أم يصومها جميعا؟
🌿SWALI
Ni ipi hukmu ya kufunga Ashuraa tu pekee..? Na jee kilicho bora ni kufunga siku ya kabla yake au baada yake azifunge zote.. ⁉
💫صيام يوم عاشوراء سنة؛ لما ثبت في الأحاديث الصحيحة عن رسول الله صلى الله عليه وسلم من الدلالة على ذلك، وأنه كان يوما تصومه اليهود لأن الله نجى فيه موسى وقومه وأهلك فرعون وقومه، فصامه نبينا محمد صلى الله عليه وسلم شكرا لله،
🌿JAWABU
❄Funga ya siku ya Ashuraa ni sunna kwa yale yalothibiti kwenye hadith sahihi kutoka kwa mtume صلى الله عليه وسلم kwa kujuulisha hilo, na kwamba ilikuwa ni siku wanayoifunga mayahudi kwa kuwa Allah amemuokoa ndani yake nabii Musa na watu wake na akamuangamiza FIRAUN na watu wake akaifunga mtume wetu صلى الله عليه وسلم kwa kumshukuru Allah.
💫وأمر بصيامه وشرع لنا أن نصوم يوما قبله أو يوما بعده، وصوم التاسع مع العاشر أفضل، وإن صام العاشر مع الحادي عشر كفى ذلك، لمخالفة اليهود،
❄Na akaamuru kufungwa kwake na akatuwekea sheria kufunga siku kabla yake au baada yake na kufunga siku ya tisa ( Tasua) pamoja na kumi ( Ashuraa) na ikiwa atafunga kumi na mwezi kumi na moja itamtosha hiyo kwa kule kwenda kinyume na mayahudi.
💫وإن صامهما جميعا مع العاشر فلا بأس؛ لما جاء في بعض الروايات: « صوموا يوما قبله ويوما بعده ». أما صومه وحده فيكره.
❄Na ikiwa atazifunga zote pamoja na mwezi kumi hakuna ubaya kwa yale yalokuja katika baadhi ya riwaya (( Fungeni siku kabla yake au siku baada yake)) Ama kufungwa kwake peke yake ni jambo lenye kuchukizwa.
📝 ترجمه : أبو عمير آدم بن خميس حفظه ورعاه.....
مجموع(15/403) للشيخ ابن باز رحمه الله تعالى...
📝 💦 TUUSOMENI UISLAMU WETU ILI TUWE NA YAKINI NA YALE TUNAYOYATENDA
•┈┈•┈┈•⊰✿📚✿⊱•┈┈•┈┈•
Ungana nasi Telegram kwa link hii upate faida: 👇🏽
t.me
Mods mada hii ni ya kutoa Elimu kwaio msiiunganishe na Ramadhan thread
Kwa nia njema Waislamu wenzangu tutakua tunakumbushana kuhusu funga hasa funga za Sunnah ambazo watu wengi wameghafilika nazo kwaio kama utakua na Elimu iliyosahihi basi tuhabarishane kuhusu funga za Sunnah kwani kule peponi kuna mlango unaitwa Raiyyan ambao wataingia wale wenye kufunga sanaa
Kwa siku ya leo tukumbushane kuhusu funga ya Ashuraa ambayo inapatikana katika mwezi mtukufu wa Muharram ndani ya tarehe 10
Ustadh Abuu Ume'iyr Adam Khamis
Faida Mbali Mbali Za Mwalimu Wetu Abuu Ume'iyr Adam - Allah Amuhifadhi
═════🍃🌹🍃═════
🔥UFAFANUZI WA FUNGA YA ASHURA & TASUAA🔥
💫ما حكم صيام يوم عاشوراء فقط؟ وهل الأفضل صيام اليوم الذي قبله أم الذي بعده أم يصومها جميعا؟
🌿SWALI
Ni ipi hukmu ya kufunga Ashuraa tu pekee..? Na jee kilicho bora ni kufunga siku ya kabla yake au baada yake azifunge zote.. ⁉
💫صيام يوم عاشوراء سنة؛ لما ثبت في الأحاديث الصحيحة عن رسول الله صلى الله عليه وسلم من الدلالة على ذلك، وأنه كان يوما تصومه اليهود لأن الله نجى فيه موسى وقومه وأهلك فرعون وقومه، فصامه نبينا محمد صلى الله عليه وسلم شكرا لله،
🌿JAWABU
❄Funga ya siku ya Ashuraa ni sunna kwa yale yalothibiti kwenye hadith sahihi kutoka kwa mtume صلى الله عليه وسلم kwa kujuulisha hilo, na kwamba ilikuwa ni siku wanayoifunga mayahudi kwa kuwa Allah amemuokoa ndani yake nabii Musa na watu wake na akamuangamiza FIRAUN na watu wake akaifunga mtume wetu صلى الله عليه وسلم kwa kumshukuru Allah.
💫وأمر بصيامه وشرع لنا أن نصوم يوما قبله أو يوما بعده، وصوم التاسع مع العاشر أفضل، وإن صام العاشر مع الحادي عشر كفى ذلك، لمخالفة اليهود،
❄Na akaamuru kufungwa kwake na akatuwekea sheria kufunga siku kabla yake au baada yake na kufunga siku ya tisa ( Tasua) pamoja na kumi ( Ashuraa) na ikiwa atafunga kumi na mwezi kumi na moja itamtosha hiyo kwa kule kwenda kinyume na mayahudi.
💫وإن صامهما جميعا مع العاشر فلا بأس؛ لما جاء في بعض الروايات: « صوموا يوما قبله ويوما بعده ». أما صومه وحده فيكره.
❄Na ikiwa atazifunga zote pamoja na mwezi kumi hakuna ubaya kwa yale yalokuja katika baadhi ya riwaya (( Fungeni siku kabla yake au siku baada yake)) Ama kufungwa kwake peke yake ni jambo lenye kuchukizwa.
📝 ترجمه : أبو عمير آدم بن خميس حفظه ورعاه.....
مجموع(15/403) للشيخ ابن باز رحمه الله تعالى...
📝 💦 TUUSOMENI UISLAMU WETU ILI TUWE NA YAKINI NA YALE TUNAYOYATENDA
•┈┈•┈┈•⊰✿📚✿⊱•┈┈•┈┈•
Ungana nasi Telegram kwa link hii upate faida: 👇🏽
Ustadh Abuu Ume'iyr Adam Khamis
Faida Mbali Mbali Za Mwalimu Wetu Abuu Ume'iyr Adam - Allah Amuhifadhi