Fundisho kwa wapenda michepuko

Inafundisha sana jamaan tulieni na wake zenu yasiwapate ya kuwekewa sumu
Uko vizuri kama umeweza kumaliza kusoma post ndefu hivyo mimi post ikiwa ndefu hivyo labda awe kaandika Mange kimambi ndio ndaweza kuimaliza.
 
Uko vizuri kama umeweza kumaliza kusoma post ndefu hivyo mimi post ikiwa ndefu hivyo labda awe kaandika Mange kimambi ndio ndaweza kuimaliza.
Siku unaweza kukutana na post kama hivyo ukaidharau kumbe ni ya maana sana
 
wanawake wengi wana vivu wa kuua maana hiyo ni hatari!
 
Angekufa Magdalena ningehuzunika lkn kwa kua kafa Aisha Nina amani
 
Kweli Bwana asipoulinda mji alindae akesha bure
Jina lako Yesu litukuzwe kila iitwapo leo
 
Jamani hii stori hata kama yakutungwa lakini inafundisho kubwa sana. Mungu aendelee kulinda ndoa zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…