Fundi welding anahitajika.

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,521
Reaction score
14,000
Habari zenu?
Nahitaji fundi welding mwenye uzoefu kwa ajili ya kunitengenezea kitanza cha chuma double deck
chini iwe na 5X6 na juu iwe 4X6.
Ninayo picha ambayo nataka atengeneze kama hiyo picha.
Fundi anahitajika awepo maeneo ya Arusha mjini au Tanga mjini.

Kama wewe ni fundi au unamjua fundi nitumie namba yako/yake ya whatsapp kwenye PM ili nikutumie picha husika.

Asanteni.
 
wasiliana na huyu 0787522000 Yupo arusha na anafanya kazi nzuri balaa uuh kanitengenezea vitu vyangu ni shda,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…