Fundi wa Servicing Air Condition (A.C) anahitajika

ntunga

Member
Joined
Sep 15, 2014
Posts
16
Reaction score
9
Natafuta fundi mwenye ujuzi na uzoefu wa kufanya services AIR CONDITION; malipo kila A.C moja itakuwa 10,000/= for both indoor and outdoor.
PM your number and i will call you.
 
Mpigie huyu jamaa ni mwisho wa matatizo ya hizo AC 0713230547 Anaitwa Mrisho yupo DAR.

Natafuta fundi mwenye ujuzi na uzoefu wa kufanya services AIR CONDITION; malipo kila A.C moja itakuwa 10,000/= for both indoor and outdoor.
PM your number and i will call you.
 
Mkuu huwezi kupata MTU kwa hiyo bei.Kiwango cha chini nikuservice a/c no 30,000 split units.
 
Ni check kupitia namba hii 0622001223 mm nafanya mpk cctv installation and maintanance, dishi umeme na vifaa vyote vya umeme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…