Naitwa Enock, napatikana Mbezi, Dar Es Salaam, Tanzania. Mimi ni fundi wa kutengeneza na kukarabati sofa.
Bei za sofa:
Love seat 200,000/= - 250,000/= kulingana na kitambaa
Set ya watu 5 ni 600,000/= - 750,000/= kulingana na kitambaa pia
Set ya watu 7 ni 800,000/= - 900,000/= nayo kulingana na kitambaa pia.