Fundi wa kufunga sat-dishes

Fundi wa kufunga sat-dishes

Mshumaaa

Senior Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
156
Reaction score
17
Kwa ufundi pamoja na ushauri wa kufunga satellite Dishes na ving'amuzi tuwasliane kwa PM tutasaidiana kwa kadri ya uwezo.

Aksanteni sana!
 
Kwa ufundi pamoja na ushauri wa kufunga satellite Dishes na ving'amuzi tuwasliane kwa PM tutasaidiana kwa kadri ya uwezo.

Aksanteni sana!
Habari mkuu, mi nahitaji hii kitu, ni sh ngap, kwa ambayo nawedha pata channel dhote dha bongo.
 
Habari mkuu, mi nahitaji hii kitu, ni sh ngap, kwa ambayo nawedha pata channel dhote dha bongo.

Dish kuanzia ft6 au ft8 Tsh120,000/= Tsh250,000/= respectively. Receiver kuanzia Tsh 40,000/= hadi 250,000/= kutegemea na aina na ubora wake. Kwa channel za bongo unatakiwa kuwa na Lnb C-band Tsh10,000/= Cable Tsh5,000/= Pin Tsh 600/=. Fundi maelewano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom