Fundi wa Iphone anahitajika

Fundi wa Iphone anahitajika

moondampwani

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2014
Posts
535
Reaction score
170
Na pata tabu kuchaji simu yangu iPhone 6s sehemu ya kuchajia imetanuka msaada wakuu
 
Kuna mhindi mmoja anaitwa muna ila kwa sasa anaunwa sana Yuko Nje ya nchi...
Ila Nenda mtaa wa libya Karibu n'a autorover kuna mafundi wake wanaendeleza kazi zake hao kwa sim Kali na zenye brand wako Vizuri

Ova
 
kama imetanuka tafuta pipe renja ibane.....nenda kkoo china plaza uliza hamza 1st floor chumba namba 47
 
Kuna mhindi mmoja anaitwa muna ila kwa sasa anaunwa sana Yuko Nje ya nchi...
Ila Nenda mtaa wa libya Karibu n'a autorover kuna mafundi wake wanaendeleza kazi zake hao kwa sim Kali na zenye brand wako Vizuri

Ova
Braza hyo Libya mji gani
 
Mbona iphone ndio simu rahisi zaidi kutengeneza
Kwani mkuu uko wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom