Natafundi wa Flat screen LG Tv.
Tatizo ni kuwa nikichomeka nyaya za king'amuzi cha azam basi TV inajizima.
Inabidi mpaka uzima kwenye umeme na kuwasha umeme ndio inawaka tena
Natanguliza shukrani
Natafundi wa Flat screen LG Tv.
Tatizo ni kuwa nikichomeka nyaya za king'amuzi cha azam basi TV inajizima.
Inabidi mpaka uzima kwenye umeme na kuwasha umeme ndio inawaka tena
Natanguliza shukrani