FUNDI WA FLAT SCREEN TV MITAA YA MWENGE

Bulamba

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2011
Posts
14,234
Reaction score
13,520
Natafundi wa Flat screen LG Tv.
Tatizo ni kuwa nikichomeka nyaya za king'amuzi cha azam basi TV inajizima.
Inabidi mpaka uzima kwenye umeme na kuwasha umeme ndio inawaka tena
Natanguliza shukrani
 
Natafundi wa Flat screen LG Tv.
Tatizo ni kuwa nikichomeka nyaya za king'amuzi cha azam basi TV inajizima.
Inabidi mpaka uzima kwenye umeme na kuwasha umeme ndio inawaka tena
Natanguliza shukrani
Vipi mkuu ulipata fundi,na mimi nahitaji fundi wa TV.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…