fundi umeme

Hajto

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
5,652
Reaction score
5,624
Habari zenu waungwana,mie ni kijana mwenye ujuzi wa taaluma ya ufundi umeme,
-Nafanya wiring katika nyumba
-Natatua hitilafu za kiumeme katika nyumba
-Nachora na Kudizaini michoro mbalimbali ya kiumeme katika nyumba
-Natoa ushauri kuhusu mambo ya kiumeme
KWA HAYO NA MENGINE USISITE KUWASILIANA NAMI 0718 30 21 32,Email rjuma224@gmail.com,natapatikana dsm maeneo ya ilala
 

Nahitaji mtu wa kuniweke alarm system ya moto katika nyumba yangu, je unaweza? kama yesi niambie nikupigie tuongeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…