Fundi, simu yangu aina ya samsung note 2 N7100. Niliingia nayo kwenye sweeming pool bila kujua. Nilifanya juhudi ya kuikausha, siku ya pili ilianza kuwaka lakini screen ikawa haionyeshi kitu. Nikaipeleka kwa fundi ili waisafishe fundi akasema simu imekufa, eti haifai tena. Naomba kujua kama unaweza kuirudisha maishani tena.