Fundi Massawe!

hahahah nimefuta kauli yangu. sorry mkuu
Kaka kule ndo kitaa...................unapafahamu vizuri lakini?Naambiwa kumepoa sana si kama zamani na ule uhuni umekwisha kabisa
 
Kaka kule ndo kitaa...................unapafahamu vizuri lakini?Naambiwa kumepoa sana si kama zamani na ule uhuni umekwisha kabisa

nakupata sana..hadi mabogini kuna washkaji zangu. of coz kumepoa sio kama zamani ilikuwa ukisikia njoro au pasua unaogopa.
nimemiss soko la mbuyuni
 
Huo wote ni mkwara,alafu eti MTAMBUZI aje kuichukua gari yake aikute tayari kisha amwambie PESA YAKO KESHO LEO SINA KITU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…