Fundi makabati ya nguo na ya jikoni

Fundi makabati ya nguo na ya jikoni

benera7

Member
Joined
Aug 2, 2017
Posts
31
Reaction score
29
Fundi makabati
Nione kwa namba
0718888212
0625577106.
1559811414173.jpeg
1559811532020.jpeg
1559811728018.jpeg
IMG_20190524_103413.jpeg
IMG_20190417_154131.jpeg
IMG_20190412_180621.jpeg
 
Mkuu hizo mbao ni za mchina au ni zipi?
Jiko dogo linaweza gharimu bei gani?
 
Safi hiyo laki sita mbao ni kwako? Na je unatumia mbao aina gani?
 
Nimependa kazi zenu kama kweli ni zenu. Tanzania tatizo ni finishing lakini kwa hizo picha zinaonesha ni finishing za viwango.

Mnafanya kutumia hardwood zipi? Kwa anaetaka.

Mnafanya milango na madirisha ya mbao (hardwood) pia?

Mtu akiwa pa picha ya design anayoitaka mnamfanyia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom