fundi majeneza vs afande

fundi majeneza vs afande

oduko

Senior Member
Joined
Dec 16, 2012
Posts
169
Reaction score
56
Fundi majeneza alipata oda ya
Jeneza akawa anapeleka kwa gari
yake.Njiani gari
ikaharibika,akaamua kubeba
kichwani kumpelekea mteja wake
akakutana na askari wa4 wakiwa
doria,akajua lazima watataka
rushwa.
Askari;- Unakwenda wapi na hilo
jeneza usiku huu?
Jamaa:- Nilikuwa nimezikwa
makaburi ya Mwananyamala sasa
sijapapenda ndo naelekea
Kinondon aliko Kanumba nikajizike
au mnanishaurije ndugu zangu?
Acha askari watimue mbio! Chezea
kufa wewe!!!
 
Hahaha janja hiyo mtu tatizo co kufa bali kutangulia ndo inshu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom