Fundi au kampuni ya kutengeneza makabati

Fundi au kampuni ya kutengeneza makabati

BelindaJacob

Platinum Member
Joined
Nov 24, 2008
Posts
6,494
Reaction score
4,076
WanaJF,

Natafuta fundi au kampuni inayotengeneza makabati ya nguo yanayo jengewa ndani ya nyumba.
Je, unafahamu kampuni inatengeneza makabati imara?
Picha zake unaweza kuzionyesha hapa? wana tovuti pia uirushe hapa nipate kuperuzi bidhaa na kazi zao.
Gharama siyo tatizo kama fundi au kampuni inafanya kazi bora, bidhaa imara na kuaminika.

Shukrani..!
 
WanaJF,

Natafuta fundi au kampuni inayotengeneza makabati ya nguo yanayo jengewa ndani ya nyumba.
Je, unafahamu kampuni inatengeneza makabati imara?
Picha zake unaweza kuzionyesha hapa? wana tovuti pia uirushe hapa nipate kuperuzi bidhaa na kazi zao.
Gharama siyo tatizo kama fundi au kampuni inafanya kazi bora, bidhaa imara na kuaminika.

Shukrani..!
Kuna mchina mmoja aliwahi kunifanyia kazi yangu some 5 years ago - I hope bado yupo around. Anaitwa Jacky : +255774668888 (pia ni mmiliki wa ile restaurant ya kichina iliyopo pale NBAA).

Kazi yake ilikuwa nzuri na bei zake pia "nzuri".
 
Kuna mchina mmoja aliwahi kunifanyia kazi yangu some 5 years ago - I hope bado yupo around. Anaitwa Jacky : +255774668888 (pia ni mmiliki wa ile restaurant ya kichina iliyopo pale NBAA).

Kazi yake ilikuwa nzuri na bei zake pia "nzuri".

Asante sana mkuu SMU nitamcheki huyo mchina.
 
waone hawa....homesdesire wako instagram jina hilo
quality halafu wabongo....hutajuta
 
Back
Top Bottom