Sifurahii na hata hivyo next 2 month naondoka mkuu naenda abroad kusoma four years kwa hiyo me na Lindi Tunaachana rasmi kwa heri ya kuonana.kwanini ulisema napenda Lindi hapana sikupenda ila kaZ ilinifanya nilishafanya mchakato wa transfer ukawa uko pending..sasa utafanyaje utaacha kuishi kwa sababu hupapendi inabidi ukome nako..Lindi bado Sana imagine nakaa mtanda hill mjini pale pale ila butcher,saloon ,wakala inabidi nishuke town na bodaboda sasa mji gani huo.sipapendi hata wife na familia nishawamisha wangeshindwa maisha magumu wafanyabiashara na watu Wana roho ya ugumu ugumu Tu..me napenda dar na SINGIDA basii